
Dr. Engineer Shabani G Kachua akijiandaa kuingia kwenye Professional Engineer Induction Ceremony nchini Canada

Hapa Dr. Kachua akionyesha moja ya Nishani aliyotunukiwa siku hiyo

Dr Kachua akiwa amesimama kwa nyuma na Mainjinia wenzake

Akipiga picha ya pamoja kwa kumbukumbu na mainjinia wenzake.
Kwa niaba ya Watanzania ninapenda kukupongeza kwa kuipeperusha vema Bendera ya Tanzania.
Habari hii nimetumiwa na KapingaZ Blog.http://kapingaz.blogspot.com/
Ahsante sana.
Habari hii nimetumiwa na KapingaZ Blog.http://kapingaz.blogspot.com/
Ahsante sana.
No comments:
Post a Comment