(Lifestyle)Jamii,Tamaduni ,Matukio,Maisha ya Waswahili. Wapendao Kiswahili/Waswahili,Marafiki wa Swahili na Waswahili, Na Mengineyo ya Karibu, Yahitajikayo Kujuzwa Waswahili.Karibuni sana!!!!!!!
Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
4 comments:
Ahaahaaaa leo uminiveza kweli nadhani hapo nilikuwa naona aibu...LOL au hapana nilikuwa najikinga na jua:-)
Wamependedhaa hao,kwikwikwi lol mi naona zote ni sababu tosha wanavaa za kuvAa miwani,tehe
Miwani poa!Ila kwa ujumla WADADA mnapendeza tu kikawaida na kwakuwa najua si kila mahali mnavaa miwani!
Ila jicho linautamu wake kama mdada anajua kulitumia katika kupandisha mizuka wakaka na sio kwa kurembua tu!
Hahahaa kaka Kitururu je ungependa mpethi oopss Mchumba/mtarajiwa wako avae?
da'Yasinta na mama Sharooo tehtehteheh mmeniambukiza kicheko,Pamoja waungwana!
Post a Comment