Dadazzz mmependeza mnoo,Asanteni sana kwa kutuwakilisha.Siku ya Wanawake ,Wao walijumuika na wenzao kwa Shamim.Duuhh kivazi cha kanga kikitengenezwa, kinapendeza haswaaa.Wanawatakia Wanawake Woote Duniani ,Baraka, Amani,Upendo na Umoja.WANAWAKE JUU!!!
Saturday, 10 March 2012
Wanawake na Mitindo-da'Levina na Rafiki zake!! Chaguo la Mswahili-Yvonne Chaka - Mamaland na Umgombothi
Dadazzz mmependeza mnoo,Asanteni sana kwa kutuwakilisha.Siku ya Wanawake ,Wao walijumuika na wenzao kwa Shamim.Duuhh kivazi cha kanga kikitengenezwa, kinapendeza haswaaa.Wanawatakia Wanawake Woote Duniani ,Baraka, Amani,Upendo na Umoja.WANAWAKE JUU!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
4 comments:
Nimependa mno safi sana na nipendavyo mavazi kama haya basi weee hakika mmependeza akina dada na ahsante kwa kutuwakilisha.
Duuh wametoka kinoma,nimependa picha yako hapo juu umetoka chicha mwanakwetu.
Wamependeza sana! Na nakaudhaifu na Yvonne!:-(
Ahsante wapendwa kwa niaba yao.@mwanakwetu da'Edna asante.@kaka wa mimi Kitururu hata mimi na Yvonne damdam!!!@ da Yasinta umeona kanga hizo?
Post a Comment