Naye ndiye Funga Dimba[Mtoto wa Mwisho] wa Familia hiyo.
Da'Leyla Tunakutakia kila lililo Jema Maishani.MUNGU Azidi kukubariki na kukulinda kila iitwapo Leo.Akupe sawaswa na Mapenzi Yake,Uwe baraka kwa Watu Woote.
Pamoja Sana. MUNGU NI PENDO
![]() |
Baba, Mama na Mwana |
Wapendwa walioungana na Familia kwenye ibada ya Ubatizo |
Zawadi ya Rosary kutoka kwa ma'Mkubwa Stellah |
![]() |
Da'Tecla[mama wa Ubatizo] da'Farajika[mama mazazi] na Binti yao.MUNGU Awabariki saaaana. |
mama na baba wa Ubatizo na Familia ya Mungai |
Familia |
Kaka Richad na kaka Isaac, watoto kwa mbalii nao walikuwepo |
da'Joyce,da'Farajika,da'Stellah ,da'Tecla na mtoto wao!! |
Mamazzzz Pamoja sana. |
mama totoo na baba totoo na shangazi walikuwepo!! |